Baada ya kumkosa Fei Toto klabu ya Al Ahli Tripoli ya Libya,imekamilisha usajili wa kiungo hatari wa RS Berkane na timu ya taifa ya Senegal,Mamadou Lamine Camara (23)
Camara alisaini mkataba jana
Changamoto iliyopo ni kwamba Berkane walichelewesha baadhi ya nyalaka mpaka dirisha la usajili Libya likafungwa ila tayari Tripoli wameomba FIFA ipitishe usajili huo kwani mchezajili anataka kucheza Libya.
