Pedro akiri JS Kabyile ni wapinzani wagumu sana

Ni mchezo wa pili katika hili kundi gumu zaidi, tumefanikiwa kupata pointi 3 za kwanza nyumbani na kesho tuna mechi nyingine ngumu hapa dhidi ya JS Kabylie.

“Ni mpinzani mgumu sana na ana nguvu kubwa ya mashabiki. Hii ni mara yangu ya nne nakuja hapa Algeria kuwaona JS Kabilie. Ni Klabu yenye hamasa na mashabiki wengi sana”

“Kwetu Yanga ni mazingira mazuri kuwepo hapa, kucheza dhidi ya Klabu mbele mbele ya mashabiki wengi pia uwanjani, tumekuja kupambana kupata pointi 3 hapa na sio kitu kingine.”



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI