Amani Kyata kocha mpya wa viungo Namungo FC

Amani Kyata amejiunga na klabu ya Namungo FC akiwa ndiye kocha wa viungo na Utimamu wa Mwili wa wachezaji lakini pia ndiye opposition analyst wa wauaji hao wa Kusini kwenye ligi kuu.

Kyata amewahi kuhudumu kama kocha wa viungo msimu uliopita akiwa na Kagera Sugar kabla ya kujiunga na Namungo pia ni kocha mwenye Fitness Licence na CAF C Diploma


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI