Police FC ya Kenya yakata rufaa CAF na wapewe ushindi licha ya kufungwa

Timu ya Ettiene Ndayiragije ya Polisi FC ya nchini Kenya imefungua malalamiko kwenye Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) wakidai kuwa Al Hilal kwenye mchezo wa pili uliochezwa Benghazi nchini Libya na kupasuka mabao matatu kwa moja walichezesha wachezaji watatu ambao hawakusajiliwa na Shirikisho la Soka nchini Sudan (SFA)

Polisi Kenya walitolewa kwa jumla ya mabao manne kwa moja baada ya kufungwa bao moja wakiwa nyumbani kabla ya kuchakazwa chuma tatu kule nchini Libya.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI