Pedro Goncalves kocha mkuu Yanga SC

Yanga SC wamemuajiri kocha wa zamani wa vilabu vya Sporting Lisbon, De Agosto na timu ya taifa ya Angola,Pedro Valdemar Soares Gonçalves (49).

Kama nilivyoripoti jana kwamba Pira Ureno linakuja Jangwani,now nathibitisha kwamba Pedro Valdemar Soares Gonçalves ni kocha mpya wa Yanga.

Ikumbukwe kocha huyo aliifikisha Angola hatua ya robo fainali kwenye AFCON iliyopita.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI