Paul Peter Kasunda ameanza msimu wa ligi ya NBC vizuri, kapachika mabao matatu sasa

Mshambuliaji Paul Peter Kasunda ameanza vizuri NBC Premier League 2025/26..

Amefunga magoli matatu kwenye mechi tano alizocheza akiwa na JKT Tanzania..

Anatupa muendelezo wa kile alichokifanya msimu wa 2024/25 akiwa na Dodoma Jiji alimaliza na magoli 8.

Kwa jinsi JKT Tanzania wanavyocheza na kutengeneza nafasi huwenda @kasunda51 atafunga magoli mengi zaidi ya yale ya msimu uliopita.

Kwenye orodha ya washambuliaji hatari zaidi wa kizawa kwasasa jina la Paul Peter Kasunda lipo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI