Kocha Nsingizini Hotspurs asema walicheza vizuri kuliko Simba

Kocha wa timu ya Nsingizini Hotspurs ya Eswatini, Mandela Qhogi amesema kwamba katika mchezo wao wa kwanza dhidi ya Simba na kufungwa mabao 3-0, walicheza vizuri zaidi ya Simba ila walichezewa rafu nyingi.

"Tulicheza vizuri kuliko Simba SC, wao muda mwingi walicheza mchezo mchafu kujidondosha kuua moments zetu za kushambulia"

"Naamini ni mbinu wataitumia mchezo wa marudiano kupaki basi na kujidondosha ila tutashambulia kupindua matokeo"

-Mandla Qhogi, kocha mkuu wa klabu ya Nsingizini Hotsupers FC

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI