Kocha mpya Yanga aanza kazi

Kocha mpya wa mabingwa wa soka Tanzania bara Mreno Pedro Goncalves ameanza kazi yake ya kuwanoa mastaa wa timu hiyo inayojiandaa na mchezo wake wa Ligi Kuu bara dhidi ya Mtibwa Sugar.

Pedro Goncalves amechukua mikoba ya Ramon Folz aliyefulushwa hivi karibuni wakati timu ikishiriki Ligi ya mabingwa Afrika raundi ya kwanza ambapo katika mchezo wake wa kwanza dhidi ya Silver Strickers ilifungwa bao 1-0 mjini Lilongwe.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI