Ahadi ya bilioni 1 zawatokea puani Vipers, yatupwa nje na Power Dynamos

Licha ya kuahidiwa Tsh  Billion 1.7 iwapo wataiondoa Power Dynamos  na kutinga hatua ya Makundi CAF Champions League Vipers SC wameshindwa kufua dafu mbele ya wababe hao wa soka nchini Zambia.

Rasmi Vipers SC Wameondoshwa kwenye Mashindano kwa Jumla ya Aggregate (3-2) ambapo mchezo wa leo umetamatika kwa Sare ya  (1-1).

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI