Simba yashusha beki mwingine wa kushoto


Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa Mlinzi wa Kushoto, Miraji Abdallah Zambo Jr, kutoka Klabu ya Coastal Union.

Nyota huyo alikuwa na Kiwango cha kuvutia sana akiwa na Klabu ya Wanamangishi ambao amewaaga msimu uliotamatika , sasa miraji anakwenda kuchukua nafasi ya Mohamed ambae ameondoka Klabuni hapo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI