Aliyewahi kuwa mlinda mlango wa Tanzania Prisons,Young Africans,Simba,Fountain gates (Zamani Singida Fountain gates) na Namungo,Beno Kakolanya anatajwa kuwa katika mipango ya Mbeya City kuelekea msimu 2025/26.
Beno ni miongoni mwa walinda milango bora kuwahi kutokea aliwahi kuwa sehemu ya kikosi cha Tanzania katika michuano ya AFCON 2023 iliyofanyika Ivory Coast.