Wakala wa Tshabalala adai timu mbili zinamtaka

Mlinzi wa kushoto wa klabu ya Simba Mohamed Hussein kupitia kwa wakala wake Carlos Mastermind ameweka wazi kuwa kuna klabu mbili kutoka nje ya nchi zinazoitaka saini ya nyota huyo.

" Kuna klabu ya Afrika Kusini imetualika kufanya mazungumzo.Kuna klabu ya Libya imeonyesha kumtaka. Kama uongozi wa mchezaji hatujakaa naye kujua mpango wake ni upi lakini tutakaa, "

Carlos Mastermind, Msimamizi wa Nahodha wa Simba Sc Mohamed Hussein 'Tshabalala


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA