Mabilioni ya Waarabu, kumrudisha Feitoto, Yanga

Klabu ya Young Africans inatajwa itapokea kiasi kikubwa cha fedha watakapofanya biashara ya kuwauza Clement Mzize na Aziz Stephane Ki mwisho wa msimu huu.

Kiasi watakachopata wanao uwezo wa kubisha hodi tena pale Chamazi wakamrejesha Feisal Salum halafu wakamsainisha na Djibril Silla ambaye inatajwa amegomea ofa ya mkataba mpya wa kuendelea kusalia Azam Complex.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA