Fadlu: Simba imebebwa na mechi za kimataifa

Kocha mkuu wa timu ya Simba Sports Club Fadlu David's amesema kwamba michezo ya kimataifa imekuwa na faida kubwa sana kwake na wachezaji wake.

Fadlu David's ameongeza kwamba, safu yake ya ulinzi imetoka kwenye kufanya makosa ya kitimu na kubaki na makosa ya mchezaji binafsi.

Tatizo hilo nalo hakuliona katika michezo hii miwili iliyopita, Kombe la Shirikisho,na CRDB Federation Cup.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA