Clara Luvanga apiga hat trick timu yake ilishinda 7-0
Nyota wa Tanzania Clara Luvanga ameisaidia timu yake ya Al Nassr FC kupata ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya Eastern Flames kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia, katika mchezo huo Luvanga amefunga mabao matatu (Hat trick) na kufikisha jumla ya mabao 13