Clara Luvanga apiga hat trick timu yake ilishinda 7-0

Nyota wa Tanzania Clara Luvanga ameisaidia timu yake ya Al Nassr FC kupata ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya Eastern Flames kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia, katika mchezo huo Luvanga amefunga mabao matatu (Hat trick) na kufikisha jumla ya mabao 13


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA