Tabora United wakamilisha vibali vya wachezaji wake wa kigeni, Simba sasa kazi wanayo

Hatimaye Tabora United wamefanikiwa kulipia vibali vya Wachezaji wote saba waliosajiliwa dirisha dogo.

Mwanengo, Mustapha, Akandwanaho, Cedric Zemba, Fikirini, Jean Noel na Chobwedo Wamekamilishiwa taratibu za kupata leseni.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI