Nyota wa Tanzania ang' ara Mexico tarehe Januari 29, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Nyota wa Tanzania Julitha Singano akiwa na timu yake ya FC Juarez wameibuka na ushindi wa mabao 2 -1 dhidi ya Santos Laguna kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Mexico uliochezwa wikiendi