Nyota wa Tanzania ang' ara Mexico

Nyota wa Tanzania Julitha Singano akiwa na timu yake ya FC Juarez wameibuka na ushindi wa mabao 2 -1 dhidi ya Santos Laguna kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Mexico uliochezwa wikiendi


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI