Nyota wa kigeni Singida Black Stars avunja mkataba

Beki wa kushoto Benson Mangolo amefanikiwa kuvunja mkataba wake na Singida Black Stars.

Mkataba huo ulikuwa unamalizika Juni, 2026.

Kwasasa yupo kwenye hatua za mwisho za kujiunga na Mochudi Centre ya nyumbani kwao Botswana kwa mkataba wa miezi mitano.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI