Novatus Dismas aing' arisha Goztepe

Kiungo Novatus Dismas amefunga bao moja kati ya mawili waliyofunga Göztepe kwenye mchezo wake dhidi ya Fenerbahçe wa ligi kuu ya Uturuki 'Super Lig'.

Göztepe wamepoteza mchezo kwa mabao 3-2


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI