Nabi bado anamtaka Mayele

Fiston Mayele bado yupo kwenye Rada za klabu ya Kaizer Chiefs.. Klabu Mpya kutoka Nchini Saudia Arabia waliwasilisha ofa yao rasmi .

Al Riyadh Football imetoa zaidi ya euro milioni 1 kumkaribisha mfungaji huyo wa Kongo, mazungumzo yanaendele na klabu yake ya Pyramid FC ya nchini Misri.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI