Msuva atupia tena Iraq tarehe Januari 30, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Nyota wa Tanzania Simon Msuva ameisaidia timu yake ya Al Talaba kupata ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Iraq dhidi ya Karbalaa FC. Msuva amefunga bao moja kwenye mchezo huo.