Israel Mwenda mechi moja assist mbili

Kwa mara ya kwanza akicheza mchezo wake wa mashindano, beki wa kushoto Israel Mwenda jana aliweza kuhusika katika mabao mawili katika ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Copco FC ya Mwanza.

Mwenda alijiunga na Yanga akitokea Singida Black Stars lakini kabla ya kwenda Singida, alikuwa anaichezea Simba SC, ametoa pasi za mwisho (assist mbili) well-done.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI