Eliza Tungu mwamuzi chipukizi wa soka

Anaitwa Eliza Tungu ni mshika kibendera anaetumika zaidi kwenye michezo ya ligi za vijana pamoja na Ligi ya wanawake nchini Tanzania.

Bado yupo katika hatua za awali kabla ya kupandishwa hadhi na kuwa miongoni mwa waamuzi wasaidizi watakaotumika kwenye michezo ya Ligi Kuu bara pamoja na michezo ya kimataifa iliyopo chini ya CAF na FIFA.




PISI MOJA KALI SANA 🔥🙌🥰

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI