Chama aiota Simba

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Zambia anayechezea Yanga iliyoondolewa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika Clatous Chama amefichua kuwa pindi atakapokuwa anaelekea kustaafu soka ndoto zake ni kurudi kuichezea Simba kwa mara nyingine.

“Nikikaribia kustaafu, timu ya kwanza kuipa kipaumbele cha kuichezea ni Simba ila kama wakinikataa ndio ninaweza kwenda timu nyingine kumalizia soka,” alisema Chama.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI