Ditram Nchimbi atua Mbeya Kwanza

Klabu ya Mbeya Kwanza imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Yanga,Polisi,Njombe Mji na Mbeya City Ditram Adrian Nchimbi akitokea Biashara United.

Nchimbi tayari amajiunga na Mbeya kwanza na yupo na kikosi hapa mkoani Arusha wakijianda na mchezo dhidi ya TMA Stars siku ya ijumaa.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI