Yacouba bado wa moto


Yacouba Sogne bado mpira upo sana mguuni, ana mabao manne (4) na assists tatu (3) jumla amehusika kwenye mabao saba (7) ya Tabora United.

Namba 10 ya maana kabisa ya mpira wa miguu ana takwimu nzuri sana ndani ya NBC Premier League, hizi takwimu ni nzuri sana

Mshambuliaji huyo leo amefunga bao moja licha kwamba timu yake imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KMC, goli lingine limefungwa na Offen Chikola


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI