Uongozi wa Yanga kuundwa upya


Muda wowote kuanzia sasa Uongozi wa klab ya Yanga utatangaza mabadiliko mapya ndani ya Uongozi wa klabu yao,

Wapo watakaoenguliwa kutokana na sababu mbali mbali na yapo maingizo mapya yataingia kwenye nafasi zao huku lengo kuu likiwa ni kuboresha zaidi kila nafasi kwenye klabu yao kuwa bora.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI