TP Mazembe ya wanawake yatwaa ubingwa wa Ligi ya mabingwa

Klabu ya TP Mazembe ya wanawake ndio mabingwa wapya wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake baada ya kuwapiga AS FAR kichapo cha bao 1-0.

Mazembe wanafikia rekodi ya Mamelodi kwa kutwaa Kombe hilo mara mbili.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI