Tanzania yapanda viwango FIFA

Tanzania imepanda nafasi sita (6) katika viwango vya ubora duniani [FIFA] kutoka nafasi ya 112 mpaka nafasi ya 106.

Kenya wameporomoka kutoka nafasi ya 106 mpaka 108.

Huku Uganda ndio wanaongoza kwa upande wa Afrika mashariki wakiwa nafasi ya 88.




Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI