Tabora United yaishika shati Singida BS

Timu ya Tabora United ya mkoani Tabora imepambana vya kutosha na kufanikiwa kusawazisha mabao yote mawili na kuwa sare ya mabao 2-2 dhidj ya Singida Black Stars mchezo wa Ligi Kuu bara uwanja wa Ali Hassan Mwinyi.

Singida Black Stars itajilaumu yenyewe kwa kushindwa kulinda mabao yake mawili iliyoyapa kupitia Elvis Rulla dakika ya 16 na Antonu Trabi Tra dakika ya 32.

Heritier Makambo alikuwa mwiba kwa Singida na kuisawazishia bao Tabora United.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI