Simba yaifanyia umafia Yanga

Kuna uwezekano mkubwa msimu ujao kiungo mshambuliaji Pacome Zouzoua wa Yanga SC akatimkia kwa watani wao Simba SC baada ya kuwagomea kuongeza mkataba mpya.

Pacome amekataa kuongeza mkataba mwingine akidai kwamba tayari kuna timu ameshafanya nayo mazungumzo na ofa yao ni nzuri hivyo anataka kuondoka ukimalizika mkataba wake.

Ingawa hakuwa tayari kuitaja klabu hiyo aliyofanya nayo mazungumzo, chanzo chetu kimebaini kuwa ni Simba, kwani ndio timu iliyokuwa ikimuhitaji.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI