Simba ikicheza vile, tano zitawahusu- Jemedari

Mchambuzi wa soka nchini Jemedari Said ameshangazwa na kiwango kibovu cha Simba SC dhidi ya Bravo's de Maquis ya Angola na amedai kwma wataendelea hivyo basi tutegemee kuona ikifungwa mabao matano matano.

"Kama Simba Sc watacheza vile walivyocheza dhidi ya Bravos de Marquis dhidi ya timu nyingine katika kundi lao, naona kabisa wataturudisha kule katika kufungwa mabao matano matano, wanapaswa kubadilika kwa kiasi kikubwa“-Mchambuzi Jemedari Said


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI