Rasmi, Gamondi amalizana na Singida

Klabu ya Singida Black Stars imefikia makubaliano na aliyekuwa kocha mkuu wa klabu ya Yanga SC, Miguel Gamondi kuwa kocha wa klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili.

Gamondi- alitimuliwa na Yanga SC aliyosaini nayo mkataba wa mwaka mmoja ambao unamalizika mwishoni mwa msimu.

Mambo Uwanjani Blog mapema Leo iliandika tetesi za ujio wa Gamondi na hatimaye dili limetiki.

Karibu tena Gamondi Tanzania


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI