Niko tofauti na Gamondi- Ramovic

Kocha wa Yanga SC Sead Ramovic ameweka wazi kwamba yeye staili yake ya uchezaji upo tofauti kidogo na mtangulizi wake Miguel Gamondi.

"Mtindo wangu wa uchezaji upo tofauti kidogo, napenda sana kujilinda vizuri na kushambulia sana, kumfinya Mpinzani kiasi ambacho simpi nafasi ya kupumua, aina hii ya mchezo huchukua muda na jitihada ila nawaahidi kwa Wachezaji hawa na kikosi hiki tukishafikia hapo basi kuitazama Yanga Afrika itakuwa ni starehe, hilo nawaahidi”

- Saed Ramovic, Kocha Mkuu wa Yanga


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI