Mastaa wa Tanzania wazibeba timu zao Ulaya

Nyota wa Tanzania Kelvin John anayecheza katika klabu ya Aalborg ya Denmark ameisaidia timu yake kupata alama moja kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliomalizika kwa sare 0:0 dhidi ya Viborg FC.

Nyota wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi ameisaidia timu ya Gotzepe ya Uturuki kupata ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Besiktas katika mchezo wa Ligi Kuu




Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI