Kipresha atetea kiti chake Mdaula

Mwenyekiti wa kijiji cha Mdaula, Chalinze mkoani Pwani kupitia CCM, Shabani Hussein "Kipresha" ametetea kiti chake baada ya kumshinda vibaya mgombea wa CHADEMA Kassim Ramadhan Kondo.

Kipresha ambaye pia ni kocha wa soka daraja C, ameshinda kwa kura 1866 wakati mpinzani wake amepata kura 23 tu.

Akipokea ushindi huo, Kipresha amesema Wanamdaula wameridhishwa na uongozi wake kutokana na kutimiza dhamila aliyokuwa nayo ikiwemo kutekeleza miradi ya kimaendeleo

Shabani Hussein Kipresha ametetea kiti chake Mdaula

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI