Diamond Platnumz azua mshangao mtandaoni

Picha mpya kutoka kwa Mwanamuziki Diamond Platnumz, Picha hii imezua gumzo mtandaoni kwani baadhi ya watu wanadai Diamond Platnumz amepata Mwanamke mwingine tofauti na Zuchu huku wengine wakidai kuwa anayeonekana kwenye picha hii ni Zuchu.

Ukiangalia vizuri picha hizi, huyo Mwanamke ni Zuchu au siyo Zuchu?

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI