Chama, Aziz Ki wanahitaji kuongezewa ubora

Kocha mkuu wa Yanga SC Sead Ramovic raia wa Ujerumani amesema wachezaji wake wawili Clatous Chama na Stephanie Aziz Ki ni wazuri ila wanahitaji kuongezewa ubora ama sivyo watapotea.

'Wapinzani wetu walikuwa wagumu nawapongeza,tumepata alama tatu ila bado napaswa kuongeza baadhi ya vitu kama vile fitness na vitu vingine taratibu taratibu.

Chama na Aziz wote ni wachezaji wazuri japo napaswa kuwaongezea ubora wao hasa fitness", amesema Ramovic


.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI