Bayo asaini miwili Yanga


Mshambuliaji ambaye ni raia wa Uganda, Fahad Bayo amesaini mkataba wa miaka miwili katika klabu ya Yanga SC

Kilichobaki anasubiri vibali kutoka TFF ambavyo Yanga SC wameambiwa vitatoka Jumatatu ijayo na ataanza kucheza mwezi ujao kuanzia tarehe 15.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI