Baka, Mzize na Aucho kuikosa Namungo kesho

Yanga itaendelea kuwakosa wachezaji wake Khalid Aucho, Clement Mzize ambao ni majeruhi na Ibrahim Bacca anaetumikia adhabu ya kadi nyekundu.

Yanga SC tayari wapo Ruangwa, Lindi kwa ajili ya mchezo dhidi ya Namungo FC utakao pigwa Novemba 30, jumamosi hii katika dimba la Majaliwa Stadium.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI