Al Hilal yamuhofia Maxi Nzengeli


Mchezaji hatari ndani ya Yanga SC ni Maxi Mpia Nzengeli,Ndiyo mchezaji mgumu pekee atakayetupa wakati mgumu ndani ya uwanja na mtaona haya pale akipata nafasi ya kucheza.

Jean Claude Girumgisha winga wa Al Hilal leo ameweka wazi mchezaji ambaye atawasumbua zaidi jumanne katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa ya Afrika katika uwanja wa Benjamin Mkapa.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI