Nigeria wasusia Hiace badala ya bus
Timu ya Taifa ya Nigeria ikiwa njiani kuelekea nyumbani baada ya kuiarifu CAF kuwa wachezaji hawako tayari kucheza mechi ya Kufuzu Afcon dhidi ya Libya kufuatia mkasa uliowakuta.
Wachezaji wa timu ya Taifa ya Nigeria wamefikia uamuzi baada ya kukutana na madhira nchini humo ikiwemo kupewa Hiace na wenyeji wao badala ya Bus kubwa.