Luis Miquissone arejea kwenye makali yake UD Songo
Winga wa Mpira Luis Miquissone toka ajiunge na UD Songo akitokea mitaa ya Msimbazi Kariakoo amekuwa na kiwango bora sanaa kwenye ligi kuu ya Msumbiji.
Mpaka sasa Miquissone amecheza mechi 6 akiwa amefunga mabao manne, pia ameshinda tuzo 3 za mchezaji bora wa mechi
Ikumbukwe Miquissone alikuwa anaichezea Simba SC kwa mafanikio makubwa kabla ya kujiunga na Al Ahly ya Misri ambayo iliachana nayo na kurejea tena Simba kisha kumuacha kabla ya kurejea kwao Msumbiji
Fo