Kipa wa Simba afunika Guinea
Mlinda mlango wa Simba SC Moussa Camara jana alianza kwenye kikosi cha kwanza na timu ya taifa ya Guinea na kuisaidia kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Ethiopia.
Camara alicheza dakika zote 90 alifanikiwa kucheza saves 4, Camara alikuwa akisotea benchi huku timi yake ikipoteza mechi zote mbili dhidi ya DR Congo na Tanzania