Kipa. TP Mazembe aamua kuwa straika kuinusuru timu

Mlinda mlango wa klabu ya TP Mazembe Souleymane Shaibu ameamua nafasi yake ya kucheza na kuwa mshambuliaji msimu huu ili kunoa safu ya ushambuliaji ya klabu yake ambayo imekuwa ikiteseka tangu kuanza kwa michuano ya taifa.

Katika mechi ya leo ameingia mnamo dakika ya 65 wakati TP Mazembe ikiwa inaongoza jumla ya goli 3-0


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI