Kipa Mamelodi Sundowns akosa tuzo

Golikipa wa klabu ya Mamelodi, Ronwen Williams amekosa tuzo ya kipa bora wa mwaka wa dunia na hivyo kumaliza nafasi ya 9 katika kinyang'anyiro hicho, tuzo hiyo imechukuliwa na Golikipa wa Argentina, Emiliano Martinez.

Hata hivyo Ronwen Williams ameweka rekodi ya kuwa golikipa wa kwanza Mwafrika anayechezea katika klabu ya barani Afrika kuwania tuzo hiyo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI