Harmonize arekodi 3 kwa mpigo
Msanii Harmonize, ameeleza jinsi alivyorekodi nyimbo tatu kwa usiku mmoja, akimshirikisha Nandy kwenye moja ya nyimbo hizo ambapo amesema kuwa yeye akiachwa huwa anaandika sana.
"Kama mnavyojua nikiwa kwenye kipindi kama hiki peni yangu inavyokuwaga
ya moto.
Msichelewe kuniacha kwa maslahi mapana ya muziki wetu na
taifa Kwa ujumlac Recorded 3 songs one nightpacha wangu
So Chaupole na post soon unanijua nikishalewa kama hii ya
@officialNandy BOMB0 CLAAAAAAA O" aliandika Harmonize.
Ikumbukwe kuwa mashabiki na wadau wengi wamekuwa wakisema Harmonize hutoa muziki bora zaidi baada ya kuachwa na wapenzi wake, hali inayoonekana kumchochea zaidi katika kuandika na kuimba muziki mzuri.