Abdulrazak Hamza arejea mazoezini Simba

Beki Wa Klabu ya Simba Abdulrazack Hamza ambaye Aliondoka kwenye Kambi ya Timu ya Taifa Tanazania Kutokana na Majerhaa Ni Rasmi Amepona Majerhaa Yake na Kuanza Mazoezi na Kikosi Cha Simba Sc kinacho Jiandaa kuwakabili Yanga SC siku ya Juma Mosi October 19.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI