Yassif Basigi amrithi Mgunda, Simba Queens

Na Ikram Khamees

Timu ya Simba Queens imemtangaza Yussif Basigi (52) kuwa kochs wake mkuu akichukua nafasi ya Juma Mgunda aliyetupiwa virago.

Basigi atasaidiwa na Mussa Hassan Mgosi, kipaombele ya cha huyo ni kusajili wachezaji bora kutoka mataifa mbalimbali ikiwemo Ghana anakotokea


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI