Ugonjwa wa Prof Jay wayabadili maisha ya mke wake

Mke wa mwanamuziki mkongwe wa Bongofleva Joseph Haule "Prof Jay" amedai ugonjwa wa mumewe umeyabadili maisha yake.

"Ugonjwa wa mume wangu umebadili maisha yangu ,mke wa mwanamuziki na mwanasiasa wa upinzani Prof Jay Professo Jay, anasema ni ‘lazima kwa yeye kuishi kama nyota’ huwa inamuwia vigumu sana kutenganisha maisha yake binafsi na maisha ya mume wake.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI